Afisa Mtendaji Mkuu kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amewahimiza Wakazi wa Morogoro na maeneo ya jirani kuchangamkia fursa ya uwepo wa taasisi hiyo Katika Mkoa huo.
Bw. Nyaisa amebainisha hayo jana Mei 10, 2022 alipofika katika Banda la BRELA kwenye Maonesho ya Tano ya mifuko na programu za uwezeshaji wananchi Kiuchumi.
"Ushiriki wa Wakala katika maonesho haya kunatoa fursa kwa wakazi wa Morogoro na maeneo ya jirani kupata huduma kwa ukaribu, hii ni fursa ya kipekee kwa sababu tofauti na ilivyo kawaida Usajili unakamilika papo kwa papo na mtu anaondoka na cheti chake" amesema Bw. Nyaisa.
Pia alitumia fursa hiyo kuwakabidhi vyeti vya Usajili wadau wa BRELA waliokamilisha sajili zao papo kwa papo na kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika Banda la BRELA ili kupata elimu ambayo itawasaidia katika kufanya biashara zao.
Kwa Upande wa Mkuu wa Wilaya Bw. Abert Msando ameipongeza BRELA kwa huduma inazozitoa na kuwahimiza wananchi kutumia fursa hiyo muhimu.
BRELA YAIBUKA MSHINDI WA PILI KATIKA MAONESHO MOROGORO
WAKAZI WA MOROGORO WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA
TPA SET TO OPEN OFFICE IN UGANDA

- HALMASHAURI YATAKIWA KUWAJIBISHA WATUMISHI KUKOSESHA FEDHA MIRADI
-
Serikali mkoani Rukwa umeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani humo, kuwachukulia hatua kali za kinidhamu watumishi wanaosababisha kupata hati ya mashaka na kukosa fedha kwaajili ya mirad ...
- UCHUMI
-
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia (WB), David Malpass, amesema uchumi wa dunia unakumbwa na pigo kubwa kutokana na janga la covid-19, ambalo mwaka huu litaweza kuwafanya watu zaidi ya milioni 60 kuin ...
- WAKULIMA BARIADI WAOMBA SERIKALI KUSIMAMIA SOKO LA VITUNGUU
-
WAKULIMA wa vitunguu wa Kata ya Nyankongolwa katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameiomba serikali kusimamia soko la zao hilo ili wapate faida kutokana na kuzalisha vitunguu kw ...
- New Business Line Launched
- The Ministry of Industry Trade and Investment has Launched three new Business Lines after the research made by Tanzania Private Sector Foundation on the Opportunities for new Businesses in Tanzania ...
- Soaring inflows, dwindling dollar demand stabilise shilling
-
The shilling was quoted closing the Tuesday trading at 2,185/- and 2,195/- against the greenback. CRDB Bank said in its market highlights that pressure on the shilling has eased because of an in ...
- Sep1
Launching of NBP Portal
Launching of NBP Portal From Sep 1, 2018 for 1 day - Dec15
training session
training session From Dec 15, 2016 for 2 days - Dec14
Training Sessions for Content
Training Sessions for Content From Dec 14, 2016 for 2 days - Dec13
TNBP Training : Content Management
TNBP Training : Content Management From Dec 13, 2016 for 1 day - Nov1
Launching
Launching From Nov 1, 2016 for 1 day